Chemical Tz anakwambia mjipange wote mnao taka kumshusha chini yeye anamuda wakusaka tuu hela, nimoja ya mistari anayo dondosha rapper huyo kwenye nyimbo yake hii mpya akiwa amemshirikisha Mr blue
Tazama hii video hapaa sii tunasemaga chafu haijawai kutakata kitu konki mungu na wauni " enjoy
0 Comments