MBOSSO - NADEKEZWA OFFICIAL LYRICS






Intro:

hohohoo hohoo hoho {x2}

Verse 1:

salamu ulizo nitumia anh 
zimenifikia 
nipo salama hata usijali
nalishwa vitamu 
vinono najilia 
biliyani yangamia 
penzi twa dalikana poo kidali 

Bridge:

nimekusahau nakumbuka tuu lako jina 
kidogo angaluu
umengoa mizizi sio kukatashina 
penzi wakapanda dau anh 
mjini baba pesa fitina 
mimi ukanidharau
visenti haba mfuko  umechina 

nando uwezo wangu ulipo ishia 
ningekupa nini tena 
kula yangu yakupapasia {hukumweza ukaatema}

mimi sina gali 
ningekupa nini tena (ooohoohoo)
 {hukumweza ukaatema}eeeheeehee

Chorus:

nadekeee nadekezwa nadekee nadekezwa {x12}

Verse 2:

yanimashamu shama mtoto kanikabiri
hadi na come come kuminambili arufajiri

na nishamvesha nyota cheochake kikubwa cha mapenzi
kanijaza kanichota kanishika pabayaa

nakutadharisha simu zausiku punguza 
unahatarisha penzi langu moto kuunguza 

Bridge:

nishakusahau nakumbuka tuu lako jina 
kidogo angaluu
umengoa mizizI sio kukatashina 
penzi wakapanda dau anh 
mjini baba pesa fitina 
mimi ukanidharau
visenti haba mfuko  umechina 

nando uwezo wangu ulipo ishia 
ningekupa nini tena 
kula yangu yakupapasia {hukumweza ukaatema}

mimi sina gali 
ningekupa nini tena (ooohoohoo)
 {hukumweza ukaatema}eeeheeehee

Chorus:

nadekeee nadekezwa nadekee nadekezwa {x12}

initial :
ohohhohh





Post a Comment

0 Comments