Intro:
hohohoo hohoo hoho {x2}
Verse 1:
salamu ulizo nitumia
anh
zimenifikia
nipo salama hata usijali
nalishwa vitamu
vinono najilia
biliyani yangamia
penzi twa dalikana poo
kidali
Bridge:
nimekusahau nakumbuka
tuu lako jina
kidogo angaluu
umengoa mizizi sio
kukatashina
penzi wakapanda dau
anh
mjini baba pesa
fitina
mimi ukanidharau
visenti haba mfuko
umechina
nando uwezo wangu ulipo
ishia
ningekupa nini
tena
kula yangu yakupapasia
{hukumweza ukaatema}
mimi sina gali
ningekupa nini tena
(ooohoohoo)
{hukumweza
ukaatema}eeeheeehee
Chorus:
nadekeee nadekezwa
nadekee nadekezwa {x12}
Verse 2:
yanimashamu shama mtoto
kanikabiri
hadi na come come
kuminambili arufajiri
na nishamvesha nyota
cheochake kikubwa cha mapenzi
kanijaza kanichota kanishika
pabayaa
nakutadharisha simu
zausiku punguza
unahatarisha penzi langu
moto kuunguza
Bridge:
nishakusahau nakumbuka
tuu lako jina
kidogo angaluu
umengoa mizizI sio
kukatashina
penzi wakapanda dau
anh
mjini baba pesa
fitina
mimi ukanidharau
visenti haba mfuko
umechina
nando uwezo wangu ulipo
ishia
ningekupa nini
tena
kula yangu yakupapasia
{hukumweza ukaatema}
mimi sina gali
ningekupa nini tena
(ooohoohoo)
{hukumweza
ukaatema}eeeheeehee
Chorus:
nadekeee nadekezwa
nadekee nadekezwa {x12}
initial :
ohohhohh
0 Comments