Intro:
mwaa mwaa mwaaa
Verse 1:
minawewe nganga ucije enda kwa mganga
dj ebu piga chalanga tucheze
wanauliza maswali tuwajibu kwa vitendo
wambie wambie mikwako nisha tia nanga
fumba macho ucije danga ukaniumiza roho
nikila korosho kula karanga uzime oh
usiniache nita tanga tanga yatima oh
unioneshe aliyo kufunza nyakanga kitandani njoo
Bridge :
niweona wengi sana wazurisana ilakwako nime kwama
sijateleza kukuchagua
nichochee nichochee kama moto unichochee
Chorus:
Kwatu roho yangu kwatu kuwa nawewe
kwatu kwatu kwatu roho yangu kwatu
roho yangu kwatu
kwatu kwatu kwatu roho yangu
Verse 2:
ukiwa mbali mwili wote unapooza
nahisi kama nimekufa natayali nishaoza
chai sukari mpenzi embu koleza
usije ukakurupuka ukaniacha kwajeneza
familia yangu iko police inakutafuta wewe
nasikia unabonge lakesi lakuniteka mie
oh lololoo lakuniteka mie yeyeeeye ahh aaanh
wambie wambie mikwako nimeshatia nanga
Bridge :
niweona wengi sana wazurisana ilakwako nime kwama
sijateleza kukuchagua
nichochee nichochee kama moto unichochee
Chorus:
Kwatu roho yangu kwatu kuwa nawewe
kwatu kwatu kwatu roho yangu kwatu
roho yangu kwatu
kwatu kwatu kwatu roho yangu
0 Comments