Verse 1:
nyama zetu za ulimi, zikikutana asali/
bonyea chini chagama kama tayari/
leo tule nini miogo yakoko kwa kachumbali/
siunanijuga mimi kitandani huwa hodari/
kama umeniroga [anhhee]/
mganga wako fundi mama/
ameniweza nilicho meza mii sijatema/
chumvi kwa kikogwa /
walimaini ndizi nyamaa /
umenilegeza ukinigusa tuu na tetema/
Bridge:
shuka kifuani babe naomba nipate supu /
yanyama laini kama mapupu/
yale yagizani babe njee tusiyaruhusu /
kwa majirani wambea wakina rufufu/
Chorus
mmmh aaah aleleleleee/
[mpenzi wangu kidonda ningongozoe]
aleleleleee
mmmh aaah aleleleleee/
[moyo wangu udongo umongonyoee]
aleleleleee
Verse 2:
asubuhi niamshe kabla yakwenda kazini joging/
kijasho kitoke ukiisi nachoka piga firimbi/
ooh unikamate wee mama nayumba shika nginigii/
wachefukwe matee maembe mabichi wape mbilimbi/
utamu wangu mimi waujua wewe/
penzi tubane napini iwe sirii yetu wenyewe/
muindi wakusini mwenye mapenzi tele/
kibiti hakuna madini tukawinde tetele/
Bridge:
shuka kifuani babe naomba nipate supu /
yanyama laini kama mapupu/
yale yagizani babe njee tusiyaruhusu /
kwa majirani wambea wakina rufufu/
Chorus
mmmh aaah aleleleleee/
[mpenzi wangu kidonda ningongozoe]
aleleleleee
mmmh aaah aleleleleee/
[moyo wangu udongo umongonyoee]
aleleleleee
Kesho twende mbagala kwa mama eeeh/
aeeeh anheee
siombali twende hata badae/
aeeeh anheee
babe tafadhali fanya ujiandae/
aeeeh anheee
Nabaibui kimini usivae /
upajue nyumbani babe /
aeeeh anheee
wakujue nymbani babe/
aeeeh anheee
0 Comments